Posts

Showing posts from March, 2021

MWONGOZO WA MAOMBI YA MFUNGO LEO 28/02/2021 SIKU YA KUFUNGA MWEZI* [ *UWAPO KWENYE MAOMBI OMBA KWA IMANI*]

Image
  *MWONGOZO WA MAOMBI YA MFUNGO LEO 28/02/2021 SIKU YA KUFUNGA MWEZI* [ *UWAPO KWENYE MAOMBI OMBA KWA IMANI*] _Aina ya mfungo_ 1: Masaa 24Kavu bila kula chochote 2:Masaa 24 Unakunywa maji tu 3:Masaa 24: unakunywa uji mara 1 tu asubuhi mpaka wakati wa kufungua. * KWA NINI KUFUNGA?* _Kufunga ni njia moja wapo ya kuonyesha uhai wa kiroho,uhusiano kati yetu na Mungu pia ni kama kuonyesha msisitizo,msaada wa mbele ya Mungu juu ya jambo flani au hitaji flani kuanza kwake au mwisho wake_ . *NGUVU ILIYO NDANI YA MFUNGO* _Yale ambayo yalikuwa hayawezekani kuwezekana_ *Mathayo 17:21* *(Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga)* 1:Anza Maombi ya shukrani *Zaburi 100:4* *1Wathesalonike5:18* kwa uzima wako,viongozi,biashara,Family,Huduma,n.k tumia dk 10-20 n.k 2:Omba rehema *Matendo 3:19* /Toba juu yako,familia,nchi,viongozi wa serikali,Viongozi wa dini,kanisa.n,k tumia Dk.10-30 n.k 3:Anza kuamuru roho za magonjwa,umasikini,mateso,kukatatamaa,mikosi,ajali.mauti,hofu,kudhara...