MWONGOZO WA MAOMBI YA MFUNGO LEO 28/02/2021 SIKU YA KUFUNGA MWEZI* [ *UWAPO KWENYE MAOMBI OMBA KWA IMANI*]
*MWONGOZO WA MAOMBI YA MFUNGO LEO 28/02/2021 SIKU YA KUFUNGA MWEZI*
[ *UWAPO KWENYE MAOMBI OMBA KWA IMANI*]
_Aina ya mfungo_
1: Masaa 24Kavu bila kula chochote
2:Masaa 24 Unakunywa maji tu
3:Masaa 24: unakunywa uji mara 1 tu asubuhi mpaka wakati wa kufungua.
*
KWA NINI KUFUNGA?*
_Kufunga ni njia moja wapo ya kuonyesha uhai wa kiroho,uhusiano kati yetu na Mungu pia ni kama kuonyesha msisitizo,msaada wa mbele ya Mungu juu ya jambo flani au hitaji flani kuanza kwake au mwisho wake_ .
*NGUVU ILIYO NDANI YA MFUNGO*
_Yale ambayo yalikuwa hayawezekani kuwezekana_
*Mathayo 17:21* *(Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga)*
1:Anza Maombi ya shukrani *Zaburi 100:4* *1Wathesalonike5:18* kwa uzima wako,viongozi,biashara,Family,Huduma,n.k tumia dk 10-20 n.k
2:Omba rehema *Matendo 3:19* /Toba juu yako,familia,nchi,viongozi wa serikali,Viongozi wa dini,kanisa.n,k tumia Dk.10-30 n.k
3:Anza kuamuru roho za magonjwa,umasikini,mateso,kukatatamaa,mikosi,ajali.mauti,hofu,kudharauliwa,kukataliwa,kurudi nyuma kiroho au kimwili n.k ziamuru roho hizo zitoweke kwenye nchi,kwako,kwenye family yako n.k *Luka8:9* *Luka4:3* *Mathayo 21:21* tumia Dk.10:20 n.k
4:Omba Amani ya Kristo iwe kwenye Family, nchi,biashara,kazi,kwako *Wakosai 3:15* tumia 10-30 n.k
5:Ombea Huduma hii ipate upenyo na kuwafikia wengi *Mathayo 7:7* *Yakobo 5:16* tumia 10:30 n.k
6:Omba mbea wengine walio wagonjwa,wahitaji mbali mbali *Yakobo 5:16*
7:Fungua kila lango lililo fungwa Duniani na mbinguni kwenye mahusiano,Family,biashara,Huduma n.k kisha funga malango yote yanayo tumiwa na Ibilisi kuleta mambo mabaya kwako,biashara,kazi,Mahusiano,huduma n.k *Mathayo 18:18* *Isaya 22:22*
_NAOMBA IJULIKANE KWAMBA HUO NI KAMA MWONGOZO TU NIMEUTOA ILA TAFUTA SANA KUONGOZWANA ROHO MTAKATIFU_ *Warumi8:26*
*TAFUTA KUZAMA NA KUOMBA KWA KINA ZAIDI KWA KUENDELEA NA MAHITAJI MENGINE*
*
NA IKIWA UNAHITAJI LA KUSHIRIKISHANA UKIONA AMANI TUMA LAA HAMNA AMANI ACHA* *_[Wagalatia 6:2]_* *Mchukuliane mizigo na kuitimiza hivyo sheria ya Kristo.*

Amina
ReplyDelete